WIZARA YA FEDHA YAENDELEA KUSHIRIKI VYEMA KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MJINI ACCRA GHANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WIZARA YA FEDHA YAENDELEA KUSHIRIKI VYEMA KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MJINI ACCRA GHANA

 Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Bi. Ingiahedi Mduma akiwa na washiriki wa nchi mbalimbali wakati wa matembezi ya hiari wakati wa kukamilisha maonesho ya wiki ya utumishi wa umma nchini Ghana.
 Watanzania wakiwa kwenye matembezi ya hiari pamoja na washiriki wa nchi zingine wakati wa kukamilisha maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma Nchini Ghana.
 Washiriki wa Tanzania na washiriki wa nchi zingine wakisubiri kuanza kwa matembezi ya hiari wakati wa kuadhimisha maonesho ya wiki ya utumishi wa umma  Nchini Ghana.
Kikundi cha ngoma cha Ghana kikiburudisha wakati wa siku ya kutoa tuzo kwa washindi wa maadhimisho ya maonesho ya wiki ya utumishi wa umma nchini Ghana.
Watanzania wakiwa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George Yambesi  wakishangilia kwa kishindo ushindi waliopata katika maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma nchini Ghana.
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George  D.  Yambesi akiwa na baadhi wa washiriki waliohudhuria katika siku ya kufunga maonesho ya wiki ya utumishi wa umma nchini Ghana.Picha zote na Scola Malinga, Wizara ya Fedha-Tanzania

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages