Waziri wa Nishati na Madini, Mh.Profesa Sospeter M. Muhongo, akimfafanulia jambo Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Chiyoda Corporation ya Japan, Bw. Shogo Shibuya. Waziri Muhongo alikutana na Bw. Shogo kwa lengo la kufanya mazungumzo kuhusu uwekezaji nchini kwenye miradi ya uzalishaji wa umeme kwa kutumia jua pamoja na ujenzi wa miundombinu ya usindikaji wa gesi asilia na mitambo ya kuzalisha umeme. Mkutano huo ulifanyika mjini Yokohama, Japan wakati wa Mkutano wa tano wa Kimataifa wa Tokyo unaojadili Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development (TICAD V) uliohudhuriwa na Wakuu wa nchi za Afrika na Japan pamoja na Mawaziri na Maofisa wa Serikali hizo. Mkutano ulifanyika tarehe 1 hadi 3 Juni, 2013.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
Waziri wa Nishati na Madini akutana na Rais wa Kampuni ya Chiyoda Corporation ya Japan
Waziri wa Nishati na Madini akutana na Rais wa Kampuni ya Chiyoda Corporation ya Japan
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)