Bondia
Thomas Mashali (kulia) akitia saini ya dole gumba kwenye mkataba wa
kupambana kwa ajili ya kuchangia elimu siku ya Tamasha la Usiku wa
Matumaini litakalofanyika Julai 7, mwaka huu katika uwanja mpya wa Taifa jijini Dar. Mashali
atacheza na Bondia Patrick Amote kutoka Kenya. Tamasha hilo
litawashilikisha wasanii mbalimbali pamoja na wabunge. Kushoto ni Rais
wa TPBO, Yasin Abdallah.
Bondia Francis Miyeyusho (kulia) akisaini mkataba kwa ajili ya mpambano wake na Bondia Shadrack Muchanje kutoka Kenya katika Tamasha la Usiku wa Matumaini. Kushoto ni Rais wa TPBO, Yasin Abdallah.
Thomas Mashali akipokea sehemu ya fedha za maandalizi kwa ajili ya mpambano wake na Bondia Patrick Amote katika Tamasha la Usiku wa Matumaini.
Bondia
Francis Miyeyusho (kulia) akipokea sehemu ya fedha za maandalizi kwa
ajili ya mpambano wake na Bondia Shadrack Muchanje kutoka Kenya. Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
SIKU YA TAMASHA LA MATUMAINI NDONGA ZA NGUVU KUPIGWA, MASHALI VS AMOTE
SIKU YA TAMASHA LA MATUMAINI NDONGA ZA NGUVU KUPIGWA, MASHALI VS AMOTE
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)