Serengeti Breweries yawapongeza Washindi wa Fainali za Guinness Football Challenge - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Serengeti Breweries yawapongeza Washindi wa Fainali za Guinness Football Challenge

IMG_0101
Serengeti Breweries Ltd imefanya hafla ya kuwapongeza washiriki wa Guinness Football Challenge, pamoja na kuwapongeza washindi wawili waliofika hadi fainali za mashindano hayo ya kukuza vipaji vya mpira. yafuatayo ni matukio mbalimbali katika picha yanayoonesha hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo katika Hoteli ya  JB Belmont na kuhudhuriwa Viongozi waandamizi wa SBL, akiwemo Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Epraimu Mafuru anayeonekana kuchezea mpira pichani juu na wageni mbalimbali waalikwa pamoja na wanahabari. IMG_0105Meneja wa bia ya Guinness kutoka kampuni ya bia ya Serengeti akionyesha uwezo wake katika kuchezea mpira IMG_0108Mmoja wa washindi pekee waliofika fainali Guinness Football Challenge kutoka Tanzania akionesha manjonjo IMG_0113Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Epraimu Mafuru kulia akiwa pamoja na  maofisa wengine wa kampuni hiyo wakifuatilia jambo katika hafla hiyo IMG_0148Baadhi ya washiriki hao wakiwa katika picha na wageni waalikwa Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Epraimu Mafuru akiwa na washindi pekee waliofika hadi fainali kutoka Tanzania
Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Epraimu Mafuru  akizungumza katika hafla hiyo huku akiwa na washindi pekee waliofika hadi fainali kutoka Tanzania Mmoja wa washindi pekee waliofika  fainali Guinness Football Challenge kutoka Tanzania akionesha manjonjo 
Mmoja wa washindi pekee waliofika fainali Guinness Football Challenge kutoka Tanzania akionesha manjonjo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages