Mwili wa Msanii Albert Mangwea kuwasili nchini LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Mwili wa Msanii Albert Mangwea kuwasili nchini LEO


Wadau wa Afrika Kusini wakiwa katika harakati za kuusafirisha mwili wa msanii wa kizazi kipya aliyefariki Dunia huko nchini Afrika ya Kusini hivi karibuni,marehemu  Albert  Mangwear jioni ya jana huko  Johannesburg, Afrika Kusini. Ratiba zinaonesha mwili huo utawasili leo jijini Dar es salaam. Muda na ratiba kamili zitafuata punde.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages