Mtangazaji
wa televisheni ya Chanel 5 EATV Joyce Kiria akiwa amewashikilia watoto
wake Lingatone Kileo kulia na Lincorn wakati alipozungumza na waandishi
wa habari katika mtaa wa Samora na kupaza sauti kuomba msaada kwa Rais
Jakaya Kikwete na watanzania kwa ujumla ili kusaidiwa na kujua aliko
mume wake Henry Kileo ambaye inadaiwa amepelekwa Igunga akituhumiwa na
kesi huko Joyce Kiria amesema mpaka sasa hajaambiwa kama mume wake yuko
wapi hivyo hata kama ana makosa anaomba afahamishwe kwani hajui
kinachoendelea mpaka sasa Joyce
Kiria akifafanua mambo mbalimbali mbele ya waandishi wa habari leo
jijini Dar es salaam huku akiwa amewabeba watoto wake na ndugu zake
wengine wakiwa na mambongo yenye ujumbe mbalimbali Joyce Kiria akendelea kujibu maswali kadhaa ya wanahabari wakati akizungumza nao leo jijini dar es salaam.Habari Kwa Hisani ya Full Shangwe Blog
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
MTANGAZAJI JOYCE KIRIA AOMBA AFAHAMISHWE ALIPO MUMEWE HENRY KILEO
MTANGAZAJI JOYCE KIRIA AOMBA AFAHAMISHWE ALIPO MUMEWE HENRY KILEO
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)