Kamishna
wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akipokea Salamu za heshima
kutoka kwa wahitimu wa mafunzo ya uongozi daraja la kwanza kozi namba
20 katika sherehe za kufunga mafunzo hayo yaliyo fanyika katika chuo cha
Magereza Kiwira Tukuyu Rungwe Mkoani Mbeya
Kamishna
wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akikagua wahitimu wa
mafunzo ya uongozi daraja la kwanza kozi namba 20 katika sherehe za
kufunga mafunzo hayo yaliyo fanyika katika chuo cha Magereza Kiwira
Tukuyu Rungwe Mkoani Mbeya
Kamishna
wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akimtunuku cheo cha Ukoplo
Askari B4448 Patric Babara kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo ya uongozi
daraja la kwanza kozi namba 20 katika sherehe za kufunga mafunzo hayo
yaliyo fanyika katika chuo cha Magereza Kiwira Tukuyu Rungwe Mkoani
Mbeya
Kamishna
wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akimtunuku cheti muhitimu
B7348 Patrick Chalemta aliye fanya vizuri masomo ya Darasani katika
mafunzo ya uongozi daraja la kwanza kozi namba 20
Kamishna
wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akimtunuku cheti muhitimu
aliye fanya vizuri somo la kulenga shabaha 3163 Tatu Amri katika
mafunzo ya uongozi daraja la kwanza kozi namba 20
Kamishna
wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akimpa zawadi muhitimu
3914 Leonida Hillu ya mwnafunzi mwenye Nidhamu usafi na ukakamavu
katika mafunzo ya uongozi daraja la kwanza kozi namba 20
Baadhi
ya Maofisa wakitoa heshima katika mahafali ya mafunzo ya uongozi daraja
la kwanza kozi namba 20 katika sherehe za kufunga mafunzo hayo yaliyo
fanyika katika chuo cha Magereza Kiwira Tukuyu Rungwe Mkoani Mbeya
Kamishna
wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga (kushoto) akiwa na Mkuu wa
Chuo cha Magereza Kiwira Staniford Ntirudura wakipokea Salamu za
heshima kutoka kwa wahitimu wa mafunzo ya uongozi daraja la kwanza kozi
namba 20 katika sherehe za kufunga mafunzo hayo yaliyo fanyika katika
chuo cha Magereza Kiwira Tukuyu Rungwe Mkoani Mbeya
Wahitimu wakiwa kwenye Gwaride wakipita kwa mwendo wa Haraka mbele ya Mgeni Rasmi.
"Hima..... Hima.... Hima!.... " Ni salamu ya utii ikiongozwa na Parade Kamanda SP Lucas Ndoteela
Baadhi ya Maofisa wakifuatilia kwa Makini shughuli za Mahafali
Baadhi ya Wahitimu wakionesha umahili wa kupambana na maadui
Watoto wanaolelewa na kituo cha malezi ya watoto wadogo katika chuo cha Magereza wakitumbuiza katika Sherehe za Mahafali
Mkuu wa Chuo cha Magereza Kiwira, Kamishina msaidizi wa Magereza Staniford Ntirudura akizungumza jambo katika mahafali hayo.
Wahitimu
wa mafunzo ya uongozi daraja la kwanza kozi namba 20 katika sherehe za
kufunga mafunzo hayo yaliyo fanyika katika chuo cha Magereza Kiwira
Tukuyu Rungwe Mkoani Mbeya, wakifuatilia matukio yanayo endelea katika
Sherehe zao.
Wahitimu B5414 Peter Ndalahwa na 3469 Matha Mwanjala wakisoma Lisara katika mahafali yao
Muhitimu B3494 Willy Timoth akisoma Shairi wakati wa mahafali
Kamishna wa Fedha na utawala wa Magereza Gaston Sanga akizungumza na wahitimu
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)