Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mkangala
akimkabidhi nahodha wa timu ya Gofu Bi. Madina Iddi Bendera ya Tanzania
kabla ya kuanza safari yakwenda nchini Zambia kwaajili ya mashindano ya
Gofu yatakayofanyika kuanzia tarehe 1 – 6 June mwaka huu. Waziri
wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mkangala akizungumza
na Wanamichezo wa Gofu kutoka Chama cha Gofu cha Wanawake Tanzania
(hawapo pichani) jana jijini Dar es Salaam. Wachezaji
wa mchezo wa Gofu wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa
Bendera ya Taifa ya Tanzania (haipo pichani) na waziri wa Michezo
kuiwakilisha Tanzania nchini Zambia.Picha zote na Genofeva Matemu – MAELEZO
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
WAZIRI DKT. MUKANGARA AKABIDHI BENDERA YA TAIFA KWA TIMU YA TAIFA YA GOFU
WAZIRI DKT. MUKANGARA AKABIDHI BENDERA YA TAIFA KWA TIMU YA TAIFA YA GOFU
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)