NCHI 22 ZA AFRIKA ZAPATA DARASA JUU YA AMANI YA MTU BINAFSI JANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

NCHI 22 ZA AFRIKA ZAPATA DARASA JUU YA AMANI YA MTU BINAFSI JANA

Mtaalam na mkufunzi wa masuala ya amani ya mtu binafsi kwa njia ya kutafakari kutoka taasisi ya Art of Living, Chandrika Magaraja akitoa maelezo juu ya amani ya mtu binafsi inavyoweza kupatikana kwa kutafakari wakati wa kushiriki Mafunzo hayo yalifanyika jana kwa njia ya video na kufanyika kwa wakati mmoja kwa nchi 22 za Afrika na yaliongozwa na Kiongozi wa Art of Living Duniani ambaye pia ni Balozi wa Amani Sri Sri Ravi Shankar ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Umoja wa Afrika (AU).
Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam walioshiriki katika katika kutafakari ambayo ni njia bora na yapekee ya kuleta amani ya mtu binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika jana kwa njia ya video na kufanyika kwa wakati mmoja kwa nchi 22 za Afrika na yaliongozwa na Kiongozi wa Art of Living Duniani ambaye pia ni Balozi wa Amani Sri Sri Ravi Shankar ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Umoja wa Afrika (AU). 
Balozi wa Jamhuri ya Djbout nchini Tanzania, Saidi Amin Shamo (kushoto) na Balozi wa India hapa nchini, Debnath Shaw wakishiriki katika kutafakari ambayo ni njia bora na yapekee ya kuleta amani ya mtu binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika jana kwa njia ya video na kufanyika kwa wakati mmoja kwa nchi 22 za Afrika na yaliongozwa na Kiongozi wa Art of Living Duniani ambaye pia ni Balozi wa Amani Sri Sri Ravi Shankar ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Umoja wa Afrika (AU). 
 Balozi wa Jamhuri ya Djbout nchini Tanzania, Saidi Amin Shamo (kushoto) Balozi wa India hapa nchini, Debnath Shaw (katikati) na Mwakilishi na Mtaalam na mkufunzi wa masuala ya Kutafakari kutoka Taasisi ya Art of Living, Chandrika Magaraja wakishiriki katika kutafakari ambayo ni njia bora na yapekee ya kuleta amani ya mtu binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika jana kwa njia ya video na kufanyika kwa wakati mmoja kwa nchi 22 za Afrika na yaliongozwa na Kiongozi wa Art of Living Duniani ambaye pia ni Balozi wa Amani Sri Sri Ravi Shankar ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Umoja wa Afrika (AU). 
Wageni maalum katika mafunzo maalum ya ya amani ya Mtu bianfsi kwa njia ya kutafakari kutoka kulia Mwakilishi na Mtaalam na mkufunzi wa masuala ya Kutafakari kutoka Taasisi ya Art of Living, Chandrika Magaraja,  Balozi wa India hapa nchini, Debnath Shaw, Balozi wa Jamhuri ya Djbout nchini, Saidi Amin Shamo, Mke wa Balozi Shamo, Mariam Shamo, Mke wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Bia Serengeti (SBL) Theresa Gannon na Mkurugenzi wa SBL, Steven Gannon,  wakishiriki katika kutafakari ambayo ni njia bora na yapekee ya kuleta amani ya mtu binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika jana kwa njia ya video na kufanyika kwa wakati mmoja kwa nchi 22 za Afrika na yaliongozwa na Kiongozi wa Art of Living Duniani ambaye pia ni Balozi wa Amani Sri Sri Ravi Shankar ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Umoja wa Afrika (AU).

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages