MWILI WA AFISA HABARI MKUU WA OFISI YA BUNGE WAWASILI NCHINI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MWILI WA AFISA HABARI MKUU WA OFISI YA BUNGE WAWASILI NCHINI

1 
Mwili wa Marehemu Ernest Zulu, Afisa Habari Mkuu Ofisi ya Bunge umewasili nchini kutoka Malaysia ambako alikuwa akisoma hadi umauti ukamkuta. Heshima za mwisho zitatolewa leo tarehe 30 Mei, 2013 nyumbani kwake Dar es Salaam, Ubungo-Kibangu kuanzia saa tano asubuhi 2Jeneza lenye mwili wa marehemu Ernest Zulu likiwa kanisani wakati wa ibada ya kumwombea 3Mke wa marehemu Zulu (aliyefunga mkono) akiwa kanisani 4Watoto wa marehemu Zulu wakiomboleza kifo cha baba yao mpendwa 5Maandalizi ya ibada ya Misa takatifu ya kumwombea marehemu 6Waomboleza kwenye msiba wa marehemu Ernest Zulu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages