KONGAMANO LA MAAFISA UNUNUZI NA UGAVI SERIKALINI LAFANYIKA MJINI MOROGORO KATIKA UKUMBI WA NASHERA HOTEL - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

KONGAMANO LA MAAFISA UNUNUZI NA UGAVI SERIKALINI LAFANYIKA MJINI MOROGORO KATIKA UKUMBI WA NASHERA HOTEL


Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha Mhe.Bi. Janeth Mbene katika picha ya pamoja na sekretarieti ya maandalizi ya kongamano hilo picha na Ingihedi Mduma na Eva Valerian.
 Naibu Waziri wa Fedha Bi. Janeth Mbene ambaye ni mgeni rasmi katika ufunguzi wa kongamano hilo akiwahutubia wagavi hawapo pichani.
 Kutoka kushoto ni Kamishna Msaidizi Idara ya Sera ya Ununuzi wa Umma Bw. Bunare Daniel, Mkurugenzi Kitengo cha Ununuzi na Ugavi Wizara ya Elimu Bw. Jacob Kibona, Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala Wizara ya Fedha Bi. Deodatha Makani, Kamishna wa Idara ya Sera ya Ununuzi wa Umma Dkt. Frederick Mwakibinga akitoa ufafanuzi, Mkurugenzi Kitengo cha Ununuzi na Ugavi Wizara ya Habari Bi. Anna Chungu na Kamishna Msaidizi Idara ya Sera ya Ununuzi wa Umma Bw. Alex Haraba.
 Watoa mada katika kongamano hilo, kutoka kushoto ni Mtengaji Mkuu wa wakala wa ununuzi na huduma serikalini Bw. Josephat Mwambega, Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya wataalamu wa ununuzi na ugavi Bw. Clemence Tesha, Eng. Ronald Lyatuu kutoka Idara ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Mkurugenzi wa Usimamizi wa mali za Serikali Bw. Ezra Msanya.
 Kutoka kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Fedha Bi. Ingiahedi Mduma, Mhakikimali mkoa wa Morogoro Bw. Khamis Simba, Meneja Mkoa Morogoro wakala wa Ununuzi na huduma Serikalini Bw. Moses Kitangalala wakisikiliza kwa makini hoja zilizokuwa zinajibiwa.
  Kamishna wa Idara ya Sera ya Ununuzi wa Umma ambaye ndiye mwenyekiti wa kongamano hilo Dkt. Frederick Mwakibinga akitoa maelekezo kwa wajumbe waliohudhuria.
 Kutoka kushoto ni Bi. Flora Mduma, Revocatus Chuwa, Michael Luzigah na Alex Haraba ambao ni baadhi ya sekretarieti katika kongamano hilo.
 Mkurugenzi wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi katika Ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Samson Akyaoo akichangia mada katika kongamano hilo.
 Afisa Ugavi kutoka Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana Bw. Bulley Mwambete akiuliza swali kwa watoa mada.
 Dkt. Mwakibinga akitoa maelekezo kwa Mjumbe wa kongamano huku Eng. Lyatuu akitabasamu.
 Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi Ofisi ya Rais, Fedha, Uchumi na Mipango ya maendeleo Zanzibar Bi. Fatma Jaha akiuliza swali kwa watoa mada.
 Dkt. Mwakibinga akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari mara baada ya ufunguzi wa kongamano hilo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages