Waziri
Mkuu wa Uholanzi Mark Rutte akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete katika ofisi yake na kufanya naye mazungumzo jana Jijini The
Hague.Rais Kikwete alikuwa katika ziara rasmi ya siku mbili nchini
Uholanzi kwa mwaliko wa Waziri mkuu wa Nchi hiyo. Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati alipokuwa
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mwishoni mwa ziara
yake rasmi ya siku mbili nchini Uholanzi jana.Kulia nia Waziri Mkuu wa
Uholanzi Mh.Mark Rutte.Picha na Freddy Maro
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
RAIS WA TANZANIA DKT. KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA UHOLANZI MARK RUTTE
RAIS WA TANZANIA DKT. KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA UHOLANZI MARK RUTTE
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)