MWAKILISHI WA FIFA ATEMBELEA WIZARA YA HABARI,VIJANA,UTAMADUNI NA MICHEZO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MWAKILISHI WA FIFA ATEMBELEA WIZARA YA HABARI,VIJANA,UTAMADUNI NA MICHEZO

4Ofisa Maendeleo wa Kusini mwa Afrika wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Ashford Mamelodi (kushoto) akisistiza jambo jana alipotembelea wizara ya Habari ,Vijana,Utamaduni na Michezo. 5Katibu Mkuu Wizara ya Habari ,Vijana, Utamaduni na Michezo Bw.Seth Kamuhanda wa kwanza kulia akimsikiliza mwakilishi wa Fifa wa kwanza kushoto aliyekuja nchini kutatua mgogoro uliokuwepo kwenye uchaguzi wa rais wa shirikisho la mpira nchini katikati ni Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Bw.Leodgar Tenga katika ukumbi wa Wizara ya Habari jana jijini Dar es salaam. 6Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya  Michezo Wizara ya Habari, ,Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Loenard Thadeo kushoto kwake ni Mkurugenzi Wa Habari Bw.Assah Mwambene,Mkurugenzi wa Msaidizi wa Michezo Bi.Juliana Yasoda na Afisa Habari Mkuu wa Wizara Bw.Godlease Malisa wakimsikiliza Katibu Mkuu wa wizara hiyo Bw.Seth Kamuhanda hayupo kwenye picha . 7Wawakilishi wa fifa wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bw.Seth Kamuhanda aliyekaa Katikati na baadhi ya viongozi wa wizara na Shirikisho la mpira wa Miguu (TFF) wakiongozwa na Rais Leodgar Tenga  aliyeketi wa Kwanza Kushoto.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages