MAKAMU WA RAIS DKT. ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA UINGEREZA, MARGARETH THATCHER - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAKAMU WA RAIS DKT. ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA UINGEREZA, MARGARETH THATCHER

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Bi. Margareth Thatcher, aliyefariki wiki iliyopita kwa ugonjwa wa Kiharusi. Makamu amesaini kitabu hicho kwenye Ofisi za Ubalozi wa Uingereza nchini zilizopo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Balozi wa Uingereza nchini, Dianne Melrose
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini, Dianne Melrose, wakati alipowasili kwenye Ofisi za Ubalozi huo, zilizopo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusaini katika kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa Waziri wa zamani wa Uingereza, Margareth Thatcher, aliyefariki wiki iliyopita kwa ugonjwa wa Kiharusi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Bi. Margareth Thatcher, aliyefariki wiki iliyopita kwa ugonjwa wa Kiharusi. Makamu amesaini kitabu hicho kwenye Ofisi za Ubalozi wa Uingereza nchini zilizopo jijini Dar es Salaam.Picha na OMR

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages