RAIS KIKWETE APONGEZWA NA CCM MKOA WA DODOMA, ATEMBELEA MRADI WA ZABIBU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

RAIS KIKWETE APONGEZWA NA CCM MKOA WA DODOMA, ATEMBELEA MRADI WA ZABIBU


Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia umati wa wana CCM wa mkoa wa Dodoma walioandaa hafla ya kumpongeza kwa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa CCM. Hafla hii imefanyika makao makuu ya CCM Dodoma.

Meza kuu ikifurahia wimbo wa kuisifu CCM kwenye hafla hiyo.
umati wa wana CCM wa mkoa wa Dodoma walioandaa hafla ya kumpongeza Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa CCM.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na viongozi wengine wakati alopotembelea Mradi wa Zabibu,Mjini Dodoma.PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages