Tanzania kuzidi kuimarisha mahusiano na India – Spika Makinda - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tanzania kuzidi kuimarisha mahusiano na India – Spika Makinda

Spika wa Bunge la India Mhe. Meira Kumar akimkaribisha mgeni wake, Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Anne Makinda kwenye chumba maalum kwa ajili ya mazunguzo kuhusu ushirikiano wan chi mbili hizi .
Mhe. Makinda akisaini kitabu cha wageni mshuhuri huku akiongozwa na mwenyeji wake, Mhe. Kumar
Mhe. Makinda akisaini kitabu cha wageni mshuhuri huku akiongozwa na mwenyeji wake, Mhe. Kumar
Pokea zawadi kutoka Tanzania… ndivyo Spika Mkakinda anavyomwambia mwneji wake.
Baada ya mkutano wa Saba wa Maspika wa Bunge wanawake kumalizika, viongozi hao kwa pamoja walikutana na waandishi wa habari na kuwaeleza yaliyojiri.
Kwaheri na karibu Tanzania
Ujumbe wa Tanzania na ule wa india kwa pamoja Picha na Prosper Minja wa Bunge kwa picha zaidi tembelea: www.prince-minja.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages