Rais jakaya kikwete aongoza kikao maalum cha baraza la mawaziri - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Rais jakaya kikwete aongoza kikao maalum cha baraza la mawaziri

   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda (kushoto), Waziri wa Fedha Dkt William Mgimwa, Waziri wa Kilimo Profesa Jumanne Maghembe na Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki Mhe Samuel Sitta baada ya kumalizika kwa mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri na Makatibu wakuu alipokutana nao Alhamisi Septemba 8, 2012 katika ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es salaam.
   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa  na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda (kulia kwake) na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kushoto) kwake wakati wa mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri na Makatibu wakuu alipokutana nao Alhamisi Septemba 8, 2012 katika ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es salaam.
Wajumbe katika mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri na Makatibu wakuu wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete (hayupo pichani) alipokutana nao Alhamisi Septemba 8, 2012 katika ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages