SPIKA WA BUNGE LA TZ,ATOA POLE KWA RAIS WA ZANZIBAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

SPIKA WA BUNGE LA TZ,ATOA POLE KWA RAIS WA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akipokea Salam za Rambi rambi kutoka Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Anne Makinda,akiongoza Ujumbe wa Wabunge hilo walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais,kutokana na msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya Segul iliyozana juzi Ikitokea Dar es Salam na kuelekea Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Spika wa  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Anne Makinda,pamoja na Ujumbe Wabunge aliofuatana nao wakati walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais,kutokana na msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya
Segul iliyozana juzi Ikitokea Dar es Salam na kuelekea Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Anne Makinda,akiongoza Ujumbe wa Wabunge hilo walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais,kutokana na msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya Segul iliyozana juzi Ikitokea Dar es Salam na kuelekea Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages