Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anawasili eneo la Sweya mchana huu kwa ajili ya uzinduzi wa Mradi wa maji safi
Mamia ya watu waliofika Kuhudhuria na kushuhudia uzinduzi huo
Hili ndilo eneo ambapo Mh. Rais Jakaya Kikwete alifika na kuzindua Rasmi
Mh. Dr Rais Kikwete akisalimiana na Baadhi ya watu wanao husika na Mradi eneo hilo
Mh. Dr Jakaya kikwete akizungumza jambo wakati wa uzinduzi huo
Wageni waalikwa wakiwa wanashuhudia Tukio hilo
Mh. Rais akiwa anaonesha kitu
Eneo la mradi wa maji safi linavyo onekana kwa ukaribu zaidi Picha zote na Mbeya yetu Blog chini ya Tone Media www.blogszamikoa.blogspot.com
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)