Mshindi waTanzania Driver of the Year 2011 kushiriki Mashindano ya Dunia - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Mshindi waTanzania Driver of the Year 2011 kushiriki Mashindano ya Dunia

Erasmus Mtui akizungumza na waandishi wa habari.
  Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya Scania nchini Tanzania, Mark Cameron(kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa dereva, ErasmusMtui ambaye ni mshindi wa mwaka 2011 anayekwenda kwenye mashindano ya Kimataifa ya Bingwa wa Mabingwa yanayotarajiwa kufanyika  Afrika Kusini.Makabidhiano hayo yalifanyika makao makuu ya ofisi za Scania Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages